Artwork

UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations에서 제공하는 콘텐츠입니다. 에피소드, 그래픽, 팟캐스트 설명을 포함한 모든 팟캐스트 콘텐츠는 UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations 또는 해당 팟캐스트 플랫폼 파트너가 직접 업로드하고 제공합니다. 누군가가 귀하의 허락 없이 귀하의 저작물을 사용하고 있다고 생각되는 경우 여기에 설명된 절차를 따르실 수 있습니다 https://ko.player.fm/legal.
Player FM -팟 캐스트 앱
Player FM 앱으로 오프라인으로 전환하세요!

UNICEF nchini Ethiopia yarejesha matumaini kwa manusura wa ukatili wa kingono

1:51
 
공유
 

Manage episode 444707999 series 2027789
UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations에서 제공하는 콘텐츠입니다. 에피소드, 그래픽, 팟캐스트 설명을 포함한 모든 팟캐스트 콘텐츠는 UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations 또는 해당 팟캐스트 플랫폼 파트너가 직접 업로드하고 제공합니다. 누군가가 귀하의 허락 없이 귀하의 저작물을 사용하고 있다고 생각되는 경우 여기에 설명된 절차를 따르실 수 있습니다 https://ko.player.fm/legal.
Nchini Ethiopia hususan katika jimbo la Somali, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limechukua hatua kusaidia manusura wa ukatili wa kijinsia kuweza kujenga upya maisha yao wakati huu ambapo takwimu za shirika hilo zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na wasichana milioni 370 duniani kote wamekumbwa na ukatili wa kingono wakati wa utoto wao, yaani kabla ya kutimiza umri wa miaka 15. Sauti hiyo ya Nasteyo Sahane Layle, Meneja wa kushughulikia visa vya ukatili wa kijinsia dhidi ya akina mama, watoto na wanawake hapa Gode, jimboni Somali mashariki mwa Ethiopia akisema kuwa kazi kubwa tunayoifanya ni visa vinavyohusu ukatili wa kingono.Ni katika video ya UNICEF iliyochapishwa kuonesha kiza kinachokumba watoto wa kike hususan leo ambayo ni siku ya kimataifa ya mtoto wa kike.Hapa Gode, UNICEF imeanzisha kituo hicho cha kutoa huduma zote na sasa kimekuwa ni kama eneo salama kwa manusura wa ukatili wa kingono.Anaonekana mmoja wa wasaka huduma kituoni hapa akifika tayari kupatiwa huduma, sura yake imefichwa ili kuficha utambulisho wako.Anapatiwa huduma ikiwemo kupimwa mapigo ya moyo na vipimo vingine na kisha kupatiwa dawa.Nasteyo anasema,“kinachotusikitisha zaidi ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao walibakwa, na sasa mustakabali wao umeharibiwa.”Pamoja na Nasteyo, wahudumu wengine katika kituo hiki ni Nimo, Faduo, Ifrah na Hamdi, wote wanawake.Ni kutokana na huduma zao, manusura wanajiona wako salama kwani wanapatiwa huduma za kisaikolojia na nyingine muhimu wanazohitaji.Na kisha kupata tena uwezo wa kujiamini na kujenga upya maisha yao. TAGS: AfyaAdditional: AfyaNews: Ukatili wa Kingono, EthiopiaRegion: AfrikaUN/Partner: UNICEF
  continue reading

104 에피소드

Artwork
icon공유
 
Manage episode 444707999 series 2027789
UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations에서 제공하는 콘텐츠입니다. 에피소드, 그래픽, 팟캐스트 설명을 포함한 모든 팟캐스트 콘텐츠는 UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations 또는 해당 팟캐스트 플랫폼 파트너가 직접 업로드하고 제공합니다. 누군가가 귀하의 허락 없이 귀하의 저작물을 사용하고 있다고 생각되는 경우 여기에 설명된 절차를 따르실 수 있습니다 https://ko.player.fm/legal.
Nchini Ethiopia hususan katika jimbo la Somali, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limechukua hatua kusaidia manusura wa ukatili wa kijinsia kuweza kujenga upya maisha yao wakati huu ambapo takwimu za shirika hilo zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na wasichana milioni 370 duniani kote wamekumbwa na ukatili wa kingono wakati wa utoto wao, yaani kabla ya kutimiza umri wa miaka 15. Sauti hiyo ya Nasteyo Sahane Layle, Meneja wa kushughulikia visa vya ukatili wa kijinsia dhidi ya akina mama, watoto na wanawake hapa Gode, jimboni Somali mashariki mwa Ethiopia akisema kuwa kazi kubwa tunayoifanya ni visa vinavyohusu ukatili wa kingono.Ni katika video ya UNICEF iliyochapishwa kuonesha kiza kinachokumba watoto wa kike hususan leo ambayo ni siku ya kimataifa ya mtoto wa kike.Hapa Gode, UNICEF imeanzisha kituo hicho cha kutoa huduma zote na sasa kimekuwa ni kama eneo salama kwa manusura wa ukatili wa kingono.Anaonekana mmoja wa wasaka huduma kituoni hapa akifika tayari kupatiwa huduma, sura yake imefichwa ili kuficha utambulisho wako.Anapatiwa huduma ikiwemo kupimwa mapigo ya moyo na vipimo vingine na kisha kupatiwa dawa.Nasteyo anasema,“kinachotusikitisha zaidi ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao walibakwa, na sasa mustakabali wao umeharibiwa.”Pamoja na Nasteyo, wahudumu wengine katika kituo hiki ni Nimo, Faduo, Ifrah na Hamdi, wote wanawake.Ni kutokana na huduma zao, manusura wanajiona wako salama kwani wanapatiwa huduma za kisaikolojia na nyingine muhimu wanazohitaji.Na kisha kupata tena uwezo wa kujiamini na kujenga upya maisha yao. TAGS: AfyaAdditional: AfyaNews: Ukatili wa Kingono, EthiopiaRegion: AfrikaUN/Partner: UNICEF
  continue reading

104 에피소드

Tous les épisodes

×
 
Loading …

플레이어 FM에 오신것을 환영합니다!

플레이어 FM은 웹에서 고품질 팟캐스트를 검색하여 지금 바로 즐길 수 있도록 합니다. 최고의 팟캐스트 앱이며 Android, iPhone 및 웹에서도 작동합니다. 장치 간 구독 동기화를 위해 가입하세요.

 

빠른 참조 가이드